JE UNA KIBALI CHA UJENZI?

𝐈𝐍𝐀𝐖𝐄𝐙𝐄𝐊𝐀𝐍𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐊𝐈 𝐄𝐍𝐄𝐎 𝐋𝐈𝐋𝐈𝐋𝐎𝐏𝐈𝐌𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐓𝐀𝐊𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐔𝐉𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐒𝐀𝐒𝐀….𝐉𝐄 𝐔𝐌𝐄𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐘𝐀𝐅𝐔𝐀𝐓𝐀𝐘𝐎????

1)𝐔𝐌𝐄𝐇𝐀𝐊𝐈𝐊𝐈 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐘𝐀𝐊𝐎 𝐈𝐍𝐀𝐘𝐎𝐒𝐎𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐇𝐀𝐓𝐈 𝐌𝐈𝐋𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀𝐊𝐎??
Kuna kesi nyingi sanaaa mtu kujenga sehemu sio yake na wengine kujikuta hata nyumba imeisha kabisa….ili kukaa mbali na hili 𝐉𝐀𝐍𝐆𝐀 ,unashauriwa kuhakiki mpaka yako inayosoma 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐇𝐀𝐓𝐈 𝐌𝐈𝐋𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀𝐊𝐎!ili kuwa na hakika sehemu unayo jenga.

𝟐)𝐔𝐌𝐄𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐊𝐈𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐂𝐇𝐀 𝐔𝐉𝐄𝐍𝐙𝐈??
Hii kwa mjini,ni lazima kabla ya kuanza ujezi kupata 𝐊𝐈𝐁𝐀𝐋𝐈 kutoka mamlaka husika!ili kuepuka Faini Na kupotezewa mda kwa kusimamishwa UJENZI!!

𝐒𝐏𝐂 𝐋𝐓𝐃:𝐭𝐮𝐩𝐨 𝐤𝐮𝐫𝐚𝐡𝐢𝐬𝐢𝐬𝐡𝐚,𝐓𝐮𝐧𝐚𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐡𝐚𝐲𝐨 𝐲𝐨𝐨𝐭𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨!!

Note:mbali na kutoa 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐇𝐈𝐙𝐈👆🏼👆🏼
pia tunauza
𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐕𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐈𝐌𝐖𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐁𝐄𝐈 𝐍𝐀𝐅𝐔𝐔 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀!!
Utachagua KIWANJA na Utaanza kulipia kidogo kidogo….
Kwa maelezo zaidi Fika ofisini
Mwanga tower
Floor ya 13.